TANGAZO
WEKA TANGAZO LAKO HAPA
Alhamisi, 26 Septemba 2013
ALSHABAB MPAKA KIELEWEKE KENYA
Magaidi Tena Kenya, walipua kituo cha polisi, waua watu watatu, magari 11 yachomwa
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa watu wanaozaniwa kuwa ni magaidi wamevamia kituo cha Polisi katika Mji wa Mandera nchini Kenya na kuwaua polisi wawili, watatu wamejeruhiwa vibaya na baadaye kuchoma magari zaid ya 11.
Ungana nasi baadaye kwa habari zaidi
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni