Bwana Ble anashukiwa kufanya mauaji, ubakaji, mateso na vitendo vingine vya kinyama
Mahakama ya kimataifa ya ICC, imetangaza rasmi kutoa kibali cha kumkamata aliyekuwa waziri wa Ivory Coast,Charles Ble Goude kwa madai ya uhalifu wa kivita
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta atoa Onyo kali kwa magaidi
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza kuwa majeshi ya Kenya yataendelea kukaa Somalia hadi usalama utakapoimarishwa katika nchi hiyo iliyokumbwa na vita vya miaka mingi.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa viongozi wa Marekani wanapaswa kuamiliana na Iran kwa kutilia maanani uhakika wa mambo na kuliheshimu taifa la nchi hii
Ripoti mpya iliyotolewa na Umoja wa Mataifa imesema kuwa idadi ya watu wanaokimbia vita na machafuko katika Jamhuri ya Kidemokrasia ay Congo imeongezeka na kuwa zaidi ya laki tatu na nusu katika miezi ya hivi karibuni.
Kwa akali watu 10 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kujiri mapigano makali kati ya wapiganaji wa kundi la Alliance of Patriots for a Free and Sovereign Congo APCLS na wanamgambo wa kundi la Sheka katika eneo la Kalembe mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.