TANGAZO

TANGAZO
WEKA TANGAZO LAKO HAPA

Jumapili, 13 Oktoba 2013

HIVI HAWA BAKWATA WANA AKILI AU MATOPE AU NI MAKAFIRI????

Jamani waislamu tusipelekwe tu kama magari mabovu na hawa bakwata kwasababu sijui niwaweke katika kundi gani yaani hawana hata aibu wanatangaza edd jumatano haliya kua watu wana simama arafa kesho waislamu tuamke tuacheni kulala jamani.



hii ndo taarifa yao hebu isome. chanzo bakwata.

Jumamosi, 12 Oktoba 2013

Wakimbizi wengine wazama baharini


Wakimbizi kadhaa wanahofiwa kuwa wamekufa baada ya  mashua yao kuzama karibu na kisiwa cha Sicily, katika bahari ya Mediterenia nchini Italia.

Ijumaa, 11 Oktoba 2013

Pinda ampiga stop Magufuli ni mara baada ya meli, mizigo kukwama bandarini

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametengua maamuzi yaliyofanywa na Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli ya kuongeza tozo ya asilimia tano kwa wasafirishaji wa malori na mabasi kwa uzito unaozidi.

Ajali ya moto ya ua watu kumi nchini japani

10 wafariki katika ajali ya moto ndani ya hospitali Japan

hebu skia hjii heti wabakaji nchini kenya adhabu yaokukata nyasi

Mwathiriwa alisema kuwa anawajua wabakaji
Wakenya wameghadhabishwa sana na hatua ya wanaume watatu waliombaka msichana mmoja na kutupa mwili wake kwenye choo kuamrishwa na polisi kukata nyasi kama adhabu kwao.

JK: Tunataka malaria ikome mwaka 2016


Rais Jakaya Kikwete, amesema ni dhamira ya Tanzania kuhakikisha kwamba malaria inatokomezwa kabisa hapa nchini ifikapo mwaka 2016.

AU kujadili uhusiano wake na ICC

AU inajadili swala hili baada ya ICC kupuuza ombi la kutaka kuhamisha kesi za Kenyatta na Ruto
Marais wa Afrika wanakutana wikendi hii mjini Addis Ababa nchini Ethiopia kujadili uhusiano wa bara la Afrika na mahakama ya kimataifa ya jinai ICC.