TANGAZO

TANGAZO
WEKA TANGAZO LAKO HAPA

Alhamisi, 10 Oktoba 2013

Taliban tayari kwa mazungumzo Pakistan

Taliban wako tayari kwa mazungumzo ila wataendelea kushambulia maslahi ya Marekani

Kiongozi wa Taliban nchini Pakistan Hakimullah Mehsud ameambia BBC kuwa yuko tayari kwa mazungumzo na serikali ingawa amesisitiza kuwa bado serikali haijamshauri.

Marekani kubana msaada wa kijeshi Misri

Marekani intaka Misri kuhakikisha uchaguzi huru na haki unafanyika kabla ya kuipa msaada tena
Marekani inabana sehemu kubwa ya dola bilioni 1.3 ambazo hutolewa kwa Misri kama msaada wa kijeshi.

Jumanne, 8 Oktoba 2013

peruuuuzi na kdadisi magazeti ya bongo ya leo j,4 octoba 13

 
 

Wanajeshi watano wauawa Misri

Kuna wasiwasi kuwa wanajeshi na vikosi vya usalama vinalengwa kwa mashambulizi la Misri
Watu waliojihami nchini Misri wamewaua wanajeshi watano katika eneo la Mkondo wa Suez mjini Ismailiya.

Lampedusa: Miili 232 imepatikana

Wanajeshi wakisaidia na juhudi za kuokoa maiti
Wapiga mbizi nchini Utaliana wamapeta idadi kubwa ya maiti katika boti iliyozama na ambayo ilikua imewabeba wahamiaji wa kiafrika kwenda Ulaya siku ya Alhamisi.

Jumapili, 6 Oktoba 2013