TANGAZO

TANGAZO
WEKA TANGAZO LAKO HAPA

Jumapili, 6 Oktoba 2013

Kenya yatangaza majina ya magaidi


Serikali ya Kenya imetaja majina ya watu 4 waliofanya shambulizi la kigaidi kwenye jengo la kibiashara la Westgate mjini Nairobi, na kutoa picha za video zinazowaonyesha magaidi hao ndani ya jengo walilolishambulia.
Mtafaruku ndani ya jengo la Westgate siku ya mashambulizi
Mtafaruku ndani ya jengo la Westgate siku ya mashambulizi

arekani yaingia Barawe na Tripoli

Anas al Libi

Waziri wa Mashauri ya nchi za Nje wa Marekani, John Kerry, amesema kuwa mashambulio yaliyofanywa na

MTOTO WA AJABU AZALIWA ZANZIBAR!


MTOTO WA AJABU AZALIWA ZANZIBAR, AANZA KUONGEA AKIWA NA MIEZI MIWILI TU. MAMA AMFIKISHA KWA VIONGOZI NA KUFUNGUKA MAKUBWA. SOMA HAPA


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgTTgDBnGW9SX4geMuOwRYLxCUpy7IGbfKvfPNZwBlssTDU_DSmKwscR5p5vYUJy1IEAKntyf5XomegC6f-YPLW8qlodzLJ_4xokTf0xaxv47eLQQF3QS7DytRpD1DycGSp-719IwacmA/s640/Capture.JPG



MTOTO wa miezi 10, aliyetambuliwa kwa jina la Fahazal mkazi wa Kivunge amefikishwa mbele ya serikali ya mkoa wa kaskazini Unguja, baada ya mama yake mzazi kusema amekuwa akitokewa na maajabu na kwamba jamii iombe dua ili kunusuru kutokea vifo.

Ungereza na Uturuki zakana kua hazikuvamia Barawe

Wapiganaji wa al-Shabaab nchini Somalia
Wanachama wa kundi la al-Shabaab nchini Somalia wanasema kuwa mji wao kusini mwa Somalia umeshambuliwa na wanajeshi wa mataifa ya Magharibi.

Jumamosi, 5 Oktoba 2013

Serikali yatangaza nafasi za kazi 1,100


Serikali kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi za kazi 1,134 katika sekta mbalimbali za ofisi za umma.

yombo vya habari sasa kuminywa zaidi


Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya chama hicho, jijini Dar es Salaam, jana. PICHA | FIDELIS FELIX 
Dar es Salaam.  
Siku sita baada ya Serikali kuyafungia magazeti ya Mwananchi na Mtanzania kwa madai ya

Rais jakaya agongelea msumari wa mwisho kwa vya vyasiasa kuhusina na mchakato wa katiba mpya

Rais Jakaya Kikwete

*Apinga maandamano ya wapinzani
*Awakaribisha Ikulu kwa majadiliano
*Amshushua Tundu Lissu, asema mzushi
*Kuvunjwa Tume ya Warioba afafanua

Rais Jakaya Kikwete, amekata mzizi wa fitina katika suala la mchakato wa katiba kwa kushauri ile hoja ya Kamati ya Bunge ya Katiba