TANGAZO

TANGAZO
WEKA TANGAZO LAKO HAPA

Jumamosi, 2 Novemba 2013

Jela maisha kwa ubakaji Afrika Kusini


Johannes alikiri kumbaka Anene lakini alikanusha madai ya kumuua
Mwanamume mmoja nchini Afrika Kusini aliyepatikana na hatia ya ubakaji na mauaji ya msichana mwenye umri wa miaka 17 amepewa hukumu mbili za maisha jela na mahakama moja viungani mwa mji wa Cape Town.

Niger kuzuia maafa Jangwani Sahara


Jangwa la Sahara
Waziri wa mambo ya nje wa Niger, anasema kuwa wanawake na watoto huenda wakapigwa marufuku kusafiri nje ya nchi kupitia eneo la Kaskazini mwa nchi.

Jumatatu, 21 Oktoba 2013

Watu watatu akiwemo msichana mdogo mwenye umri wa miaka 8 wauawa

Waumini walishambuliwa wakiwa wanatoka kanisan
Watu watatu akiwemo msichana mdogo mwenye umri wa miaka 8 aliuawa wakati watu waliokuwa wamejihami wakiwa kwenye pikipiki kushambulia sherehe za ndoa nje ya kanisa la Kikopti mjini Cairo.

Boko Haram waua madereva 19 Nigeria

Mabaki ya magari ya madereva waliouawa na Boko Haram
Wanamgambo waliokuwa wamevaa nguo za kijeshi, wamewaua watu 19 katika kuzuizi cha barabarani walichokuwa wameweka kukagua magari katika jimbo la Borno.

Jumapili, 13 Oktoba 2013

Utaliana itazidisha doria Mediterranean

Wanajeshi wakisaidia katika uokozi, Lampedusa
Utaliana itazidisha doria za wanajeshi kusini mwa bahari ya Mediterranean, baada ya mamia ya wakimbizi kuzama

Upinzani wa Syria hautaki kuzungumza

George Sabra
kongozi wa kundi kubwa katika ushirikiano wa upinzani nchini Syria amesema ana hakika hatohudhuria

Hijja yaanza Makka


Malaki  ya waumini wamekusanyika Mina karibu na mji wa Saud Arabia wa Makka kuanza kutekeleza nguzo ya tano ya dini ya kiislam-Hajji.