TANGAZO

TANGAZO
WEKA TANGAZO LAKO HAPA

Jumatatu, 21 Oktoba 2013

Boko Haram waua madereva 19 Nigeria

Mabaki ya magari ya madereva waliouawa na Boko Haram
Wanamgambo waliokuwa wamevaa nguo za kijeshi, wamewaua watu 19 katika kuzuizi cha barabarani walichokuwa wameweka kukagua magari katika jimbo la Borno.

Jumapili, 13 Oktoba 2013

Utaliana itazidisha doria Mediterranean

Wanajeshi wakisaidia katika uokozi, Lampedusa
Utaliana itazidisha doria za wanajeshi kusini mwa bahari ya Mediterranean, baada ya mamia ya wakimbizi kuzama

Upinzani wa Syria hautaki kuzungumza

George Sabra
kongozi wa kundi kubwa katika ushirikiano wa upinzani nchini Syria amesema ana hakika hatohudhuria

Hijja yaanza Makka


Malaki  ya waumini wamekusanyika Mina karibu na mji wa Saud Arabia wa Makka kuanza kutekeleza nguzo ya tano ya dini ya kiislam-Hajji.

HIVI HAWA BAKWATA WANA AKILI AU MATOPE AU NI MAKAFIRI????

Jamani waislamu tusipelekwe tu kama magari mabovu na hawa bakwata kwasababu sijui niwaweke katika kundi gani yaani hawana hata aibu wanatangaza edd jumatano haliya kua watu wana simama arafa kesho waislamu tuamke tuacheni kulala jamani.



hii ndo taarifa yao hebu isome. chanzo bakwata.

Jumamosi, 12 Oktoba 2013

Wakimbizi wengine wazama baharini


Wakimbizi kadhaa wanahofiwa kuwa wamekufa baada ya  mashua yao kuzama karibu na kisiwa cha Sicily, katika bahari ya Mediterenia nchini Italia.

Ijumaa, 11 Oktoba 2013

Pinda ampiga stop Magufuli ni mara baada ya meli, mizigo kukwama bandarini

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametengua maamuzi yaliyofanywa na Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli ya kuongeza tozo ya asilimia tano kwa wasafirishaji wa malori na mabasi kwa uzito unaozidi.