Jamani waislamu tusipelekwe tu kama magari mabovu na hawa bakwata kwasababu sijui niwaweke katika kundi gani yaani hawana hata aibu wanatangaza edd jumatano haliya kua watu wana simama arafa kesho waislamu tuamke tuacheni kulala jamani.
hii ndo taarifa yao hebu isome. chanzo bakwata.
hii ndo taarifa yao hebu isome. chanzo bakwata.



