TANGAZO
WEKA TANGAZO LAKO HAPA
Jumanne, 8 Oktoba 2013
Wanajeshi watano wauawa Misri

Kuna wasiwasi kuwa wanajeshi na vikosi vya usalama vinalengwa kwa mashambulizi la Misri
Watu waliojihami nchini Misri wamewaua wanajeshi watano katika eneo la Mkondo wa Suez mjini Ismailiya.
Lampedusa: Miili 232 imepatikana

Wanajeshi wakisaidia na juhudi za kuokoa maiti
Wapiga mbizi nchini Utaliana wamapeta idadi kubwa ya maiti katika boti iliyozama na ambayo ilikua imewabeba wahamiaji wa kiafrika kwenda Ulaya siku ya Alhamisi.
Jumapili, 6 Oktoba 2013
Maiti zaidi zapatikana Lampedusa

Wakuu wa Utaliana katika kisiwa cha Lampedusa wanasema wameopoa miili zaidi kutoka meli iliyozama Alkhamisi.
Maadhimisho ya vita yauwa zaidi Misri

Watu kama 15 wameuwawa kwenye mapambano nchini Misri wakati wafuasi wa rais wa Kiislamu,
CUF,NCCR Mageuzi,Chadema, wakubaliana na JK

Rais Jakaya Kikwete
Vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi , vimekubali ushauri wa Rais Jakaya Kikwete wa kutaka hoja ya
hebu cheki hii ajali hapa katika video wanafunzi wa nusurika kufa jijini dar
tazama hapa sasa tukio lenyewe la ajali jinsi ilivyo kua
Jisajili kwenye:
Maoni
(
Atom
)