TANGAZO

TANGAZO
WEKA TANGAZO LAKO HAPA

Jumanne, 8 Oktoba 2013

peruuuuzi na kdadisi magazeti ya bongo ya leo j,4 octoba 13

 
 

Wanajeshi watano wauawa Misri

Kuna wasiwasi kuwa wanajeshi na vikosi vya usalama vinalengwa kwa mashambulizi la Misri
Watu waliojihami nchini Misri wamewaua wanajeshi watano katika eneo la Mkondo wa Suez mjini Ismailiya.

Lampedusa: Miili 232 imepatikana

Wanajeshi wakisaidia na juhudi za kuokoa maiti
Wapiga mbizi nchini Utaliana wamapeta idadi kubwa ya maiti katika boti iliyozama na ambayo ilikua imewabeba wahamiaji wa kiafrika kwenda Ulaya siku ya Alhamisi.