TANGAZO

TANGAZO
WEKA TANGAZO LAKO HAPA

Jumamosi, 5 Oktoba 2013

Serikali yatangaza nafasi za kazi 1,100


Serikali kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi za kazi 1,134 katika sekta mbalimbali za ofisi za umma.

yombo vya habari sasa kuminywa zaidi


Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya chama hicho, jijini Dar es Salaam, jana. PICHA | FIDELIS FELIX 
Dar es Salaam.  
Siku sita baada ya Serikali kuyafungia magazeti ya Mwananchi na Mtanzania kwa madai ya

Rais jakaya agongelea msumari wa mwisho kwa vya vyasiasa kuhusina na mchakato wa katiba mpya

Rais Jakaya Kikwete

*Apinga maandamano ya wapinzani
*Awakaribisha Ikulu kwa majadiliano
*Amshushua Tundu Lissu, asema mzushi
*Kuvunjwa Tume ya Warioba afafanua

Rais Jakaya Kikwete, amekata mzizi wa fitina katika suala la mchakato wa katiba kwa kushauri ile hoja ya Kamati ya Bunge ya Katiba

Obama afuta ziara yake barani Asia



Rais wa Marekani Barrack Obama amefuta ziara yake barani Asia na pia hatohudhuria mikutano miwili ya kimataifa kutokana na kufungwa kwa shughuli za serikali ya Marekani.

Watu wanne wauwawa Mombasa

Kenya

Watu wanne wamethibitishwa kuuwawa baada ya makabiliano makali kati ya polisi na waandamanaji mjini Mombasa kenya walioandamana hapo jana baada ya Sala ya Ijumaa kupinga kuuwawa kwa Sheikh Ibrahim Ismail

Shughuli za uokoaji zasimamishwa Lampedusa


Zaidi ya watu miamoja kumi na watu wamepatikana wakiwa wamekufa maji na wengine miambili bado hawajulikani waliko

Hali mbaya ya hewa imewasababisha waokoaji kuahirisha juhudi za kutafuta miili ya wahamiaji zaidi ya 200 ambao hawajulikani waliko, baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kushika moto na kuzama karibu na kisiwa cha Lampedusa, kusini mwa Italia. Wapiga mbizi walifanikiwa kuipata miili zaidi ya 100 ya wahamiaji huku watu zaidi ya 150 wameokolewa. Inaaminika boti hiyo iliopinduka ilikuwa na wahamiaji takriban 500 waliokuwa wanatokea nchini Somalia na Eritrea. Kamishna wa Umoja wa Ulaya  anayeshughulika na maswala ya  ndani  Cecilia Malmstroem, ameapa kuwa atapambana na watu wanaosafirisha  watu kwa  njia  haramu  kwa kutumia hali  yao  mbali  ya maisha. Italia  ilitangaza  siku  moja  ya  maombolezo  jana  Ijumaa.

Wafuasi wa Morsi wakabiliana na polisi Misri


Idadi kubwa ya wafuasi wa Morsi wamezuiliwa na wengine kuuawa
Vikosi vya usalama nchini Misri vimeimarisha ulinzi katika sehemu kadhaa mjini Cairo baada ya vurugu kuzuka kutokana na makabiliano kati ya wafuasi wa Mohammed Morsi na vikosi vya usalama katika mji huo na ule wa Alexandria.