
Chumba cha kuhifadhia maiti cha baraza la jiji la Nairobi
Jamaa ya baadhi ya wakenya waliopotea kufuatia shambulizi la kigaidi la Westgate wamejitokeza kufanyiwa uchunguzi wa chembechembe za DNA.
Polisi walitoa ombi hilo baada ya kupata viungo vya mwili katika jengo hilo





