TANGAZO

TANGAZO
WEKA TANGAZO LAKO HAPA

Jumanne, 1 Oktoba 2013

UN: Idadi ya wakimbizi wa Congo imeongezeka




Ripoti mpya iliyotolewa na Umoja wa Mataifa imesema kuwa idadi ya watu wanaokimbia vita na machafuko katika Jamhuri ya Kidemokrasia ay Congo imeongezeka na kuwa zaidi ya laki tatu na nusu katika miezi ya hivi karibuni.

Polisi 12 wa Msumbiji wahukumiwa kifungo jela


Polisi 12 wa Msumbiji wahukumiwa kifungo jela



Polisi 12 wa Msumbiji wahukumiwa kifungo jela

Mapigano makali yaendelea mashariki mwa Kongo




Mapigano makali yaendelea mashariki mwa Kongo

Kwa akali watu 10 wameuawa na makumi  ya wengine kujeruhiwa baada ya kujiri mapigano makali kati ya wapiganaji wa kundi la Alliance of Patriots for a Free and Sovereign Congo  APCLS na wanamgambo wa kundi la Sheka katika eneo la Kalembe mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Jumatatu, 30 Septemba 2013

Chuo kilichovamiwa Nigeria kilikosa ulinzi


Maafisa wa utawala nchini Nigeria wanasema kuwa hapakuwa na ulinzi katika chuo cha mafunzo ya kilimo nchini Nigeria ambako hadi wanafunzi 50 waliuawa Jumapili.

Wabunge, Kenya - wakimbizi waondolewe



Kamati ya bunge inayohusika na ulinzi na uhusiano na mataifa ya kigeni imependekeza kufungwa kwa kambi za wakimbizi nchini Kenya, ikisema zinatishia usalama wa nchi.